Search

438 results for Pamela Chilongola :

  1. ACT yachambua bajeti kilimo, yatoa mapendekezo

    Chama cha ACT- Wazalendo kimetoa mapendekezo mbalimbali kwa Serikali ya Tanzania ili kuboresha sekta ya kilimo ikiwemo kuweka mfumo wa kodi unaoeleweka utakaohakikisha mkulima anabaki na sehemu...

  2. CRDB yaamriwa kumlipa fidia Sh300 milioni Balozi wa Tacaids

    Mahakama imefikia uamuzi huo katika hukumu iliyotolewa jana Aprili 30, 2024 na Hakimu Mkazi Mkuu, Rahim Mushi, katika kesi ya madai aliyofunga Bahenge dhidi ya benki hiyo akiilalamikia kwa...

  3. China yatoa fursa zaidi Watanzania kujifunza Kichina

    Taasisi imetoa vitabu hivyo kwa kushirikiana na Kampuni ya Ujenzi inayomilikiwa na Serikali ya China (CCCC) ili kujifunza lugha ya Kichina.

    New Content Item (1)
  4. Mkaa unavyoweza kuokoa maisha ya aliyekunywa sumu

    Kuhusu mtu aliyekunywa mafuta ya petroli au mafuta ya taa, anashauri asipewe kitu chochote, badala yake awekwe sehemu yenye hewa na kisha awahishwe hospitali.

  5. Diwani awatangazia hatari wanafunzi watoro

    Imeelezwa kuwa baadhi ya wanafunzi wa Kata ya Kunduchi wanashinda kwenye michezo ya beti, bonanza na wengine wanakaa sokoni, gereji na eneo la baharini

  6. Tanzania, Italia kushirikiana kuendeleza kilimo

    Wawekezaji kutoka nchini Italia wapo tayari kushirikiana na Watanzania katika eneo la teknolojia ili kilimo kiwe na tija

  7. Sita kortini wakidaiwa kuvunja duka, kuiba mali za Sh31 milioni

    Dar es Salaam. Watu sita akiwemo Katibu wa Chama cha Wamiliki Ardhi na Nyumba Tanzania, Wilaya ya Temeke, Michael Kateka (68) wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Temeke wakikabiliwa na...

  8. TRA yamtangaza mlipakodi bora mwanamke mwaka 2023

    Wakati wanawake nchini wakiungana na wenzao duniani kusherehekea Siku ya Wanawake Duniani, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imemtangaza Mtendaji wa Kampuni ya Utalii ya Zara Internation Travel...

  9. Saba kortini wakidaiwa kusafirisha sukari, mafuta ya kula kwa magendo

    Washtakiwa wanadaiwa kuingiza bidhaa hizo kwa njia ya magendo kwa kukwepa ushuru.

  10. Chanzo msururu meli za mafuta bandarini

    Kamati ya Bunge ya Nishati imeshauri Serikali kuboresha miundombinu ya kuhifadhia mafuta katika Bandari ya Dar es Salaam, ili kupunguza gharama kwa watumiaji

Page 1 of 44

Next